-
READ MORE
Si mara moja utaskia kuhusu vifo au hata mateso wanayopitia waumini kwa shinikizo la viongozi wao wa kidini. Watoto na akina mama huishia kuaga dunia na kuwawacha wapendwa wao na machungu tele. Lakini ni nini hasa huwafunga watu hawa macho kiasi cha kuteseka hadi kufa? Ibuka FM itayazamia haya yote…